Sunday, September 16, 2018

Uthubutu

Tabia ya binadamu ni kuchukia mazingira yoyote mabaya yanayomzunguka. Na kimsingi hakuna anayependa mazingira mabovu/mabaya, huu ndiyo ukweli

Mbaya kuliko huwa tunapenda mteremko katika mambo mengi, hii ni kwa sababu ukitaka kufanya mabadiliko, ya vitu vingi gharama yake huwa kubwa kiasi cha kuwafanya wengi waogope kuchukua hatua.

Ukweli ni kwamba kile kitu kinachoogopwa na wengi, ndiyo chenye manufaa zaidi kuliko kile wengi wanachokimbilia. Na hii ndiyo sababu wanaofanikiwa ni wachache kuliko walioshindwa.

Kuna sababu kadha wa kadha zinazowafanya watu waogope kufanya mambo ya tofauti na wengine katika maisha lakini bado hali ya maisha waliyonayo hawaipendi, kubwa ikiwa ni gharama za kufanya mabadiliko/hatua ya kuondoka.

Wewe siyo mti, mahala/hali usipopenda/usiyoipenda haita kupeleka kwenye maisha ya ndoto zako, kuwa jasiri, anza kupiga hatua mpya na uone matunda leo.

#NsajigwaMwakigonja
#UnstoppableMan
#TeamUnstoppable
#Project1000
#TimeToEmpowerMorePeople

Wednesday, October 18, 2017

Beyond Business Opportunity

The Business(man) of Beauty


If you thought that running a beauty business was a woman’s game, Simeon Saidi is set to prove you wrong. With a keen eye for business, and a commitment to developing others, Simeon is proof that hard work and passion can make dreams come true.

You have a degree in Mechanical Engineering; how did you make the transition to Oriflame?
In Nigeria, you tend to choose your university subject based on what your family expects of you, for example: a doctor, a lawyer or an engineer. Although I studied engineering, I wasn’t really cut out for it. I’m very outgoing, like meeting new people and taking part in new things. Starting my business with Oriflame, I felt like a fish in water – it’s instinctual and comes naturally to me.

How did you first discover Oriflame?
It’s a very exciting story! A friend of mine invited me to his office and showed me a catalogue; I loved the packaging and the razzmatazz of it. He talked me through the compensation plan and it blew my mind; that’s when he introduced me to the Managing Director at Oriflame in Nigeria and he asked me a simple question: “How much money do you want to make and how far do you want to go?” My dream, from day one, was to get to the top.

“With Oriflame, I feel like a fish in water – it’s instinctive and comes naturally to me...”

As a man, is it a challenge to sell beauty products?
Personally, when reaching out to people, I prefer to focus on the compensation plan rather than the products. The Nigerian economy isn’t doing very well; our oil prices are down and the exchange rate is high versus the (American) dollar; I find that the business aspect is very attractive to people.


How do you reach out to people?
During my first year with Oriflame, I focused on meeting people face-to-face rather than through social media – I did have a Facebook account but I barely used it. Nowadays I’m more online than offline. I use Google and Facebook advertising to capture people’s attention, but then I invite people into the office to see the product range and find out about the business in person – that’s when people get really excited.


What’s your best piece of business advice?
The rejection rate can be high, so I always tell people that you need to bill more and increase your recruitment rate. You may receive a lot of rejections at first, but these rejections will only make you stronger. It’s all about building a team and supporting others, so my advice would be to try and see the bigger picture. Think less about sales and immediate profit and focus more on building a business through recruitment.


In just little over a year you’ve reached Diamond Director status – what’s been your highlight? What are you most proud of?
Without a doubt, the Gold Conference in Valencia, Spain - I’ve never experienced anything like that in my life. The icing on the cake was the recognition part, when I was called up to receive the Diamond Award; there were even fireworks! It honestly was mind-blowing. I’d like to relive that experience again and again.


How would you describe an Oriflame conference to someone?
I’d tell them that it’s five-star treatment, all the way through. You get treated like royalty, from start to finish. When people heard that I was a Diamond Director they wanted to take pictures of me and get my autograph; I felt like a star! Trust me, once you’ve attended your first conference you’ll want to go to the next one and the one after that!


You brought someone you selected from your network to the Diamond Conference – how did it feel to give him that opportunity?
The moment that I was informed that I had an extra ticket for the Diamond Conference, I ran a competition within my team. A young guy who had worked really hard qualified to come – and wow, did he ever make the most of his trip! He’s inspired a lot of people back home; that felt really nice.


In 5 years from now, where do you hope to be?
Number one in the world - Diamond President Director! 




 What's Your DREAM
  1. unlimited income earning opportunity ?
  2. Traveling around the world for absolutely free?
  3. Having time with your beloved ones?
  4. Looking and feeling great?
"Please do not hesitate as this is more than an opportunity to you and your household, just jump in an grab it until you reach your dreams, this is your prime time for you to start your journey towards your brighter exciting future."
 
YOU ARE SINCERELY WELCOME 
 

Wednesday, March 15, 2017

BADILI MTAZAMO WAKO LEO.

Siku zote ili upate matokeo makubwa katika maisha yako lazima ubadilishe namna unafikiri na namna unayaona mabo yote katika dunia. Daima epuka kudharau mambo na hata pesa ile ndogo upatayo kwani kupitia hayo yote ndipo utaweza kufanikiwa. Hii ni kwa kuwa mafanikio yako ni mkusanyiko wa yale mambo madogo madogo uyafayo kila siku, na nipamoja na mkusanyiko wa hata ile shilingi 100/= ambayo wakati fulani ikidondoka unaidharau kwakuwa ni ndogo kwa mtazamo na kwa kuwa kwa maisha tuliyo nayo sasa hainunui kitu chochote cha maana zaidi ya vile vya watoto.

Sasa kikubwa ni wewe kubadili mtazamo wako kwani hata mafanikio ambayo wengi tumekuwa tukiona kama nia kwa ajili ya watu fulani wewe ndiye mwamuzi mkuu wa kufanikiwa ama kushindwa katika jambo lolote na hata katika maisha kwa ujumla.
Kumbuka kwamba haijalishi namna gani wewe umeishi maisha yako pamoja na wazazi wako walivyokuwa katika maisha yao kwa wakati wote wa kukulea wewe, maamuzi yako binafsi ufanyayo ndani ya sekunde moja ndiyo yenye nguvu kubwa ya kuweza kubadili maisha yako na kizazi chako chote kijacho.

Anza leo kubadili mtazamo wako ili maisha yako yabadilike. Hii ni siku yako na kiri hivyo sasa kuwa leo ni siku yako ya muhimu mno katika maisha yako kuweza kuyafanya maisha yako yawe tofauti. Hii ni kwa sababu kuna fursa nyingi katika maisha haya hivyo ni juu yako wewe kuzitumia kuzalisha pesa na kupata mafanikio yako ambayo umekuwa ukitamani kwa muda mrefu.

+255785076937 au +255652211067 namba hizi zipo kukusaidia kubadili misha yako leo na kuishi maisha ya ndoto zako kuanzia sasa. Nitafute wakati wowote nikupe mifumo ambayo iko salama na imethibitishwa kumuwezesha hata yule wa kipato cha chini kabisa kuweza kufanya kitu ambacho kitamsaidia kwa maisha yake yote aliyo nayo,


AMKA SASA NA BADILISHA MTAZAMO WAKO ILI UPATE MATOKEO MAKUBWA ILA USIMUACHE MUNGU WAKO NA MSHIRIKISHE KILA HATUA YA MAISHA YAKO.

Tuesday, March 14, 2017

TUSONGEMBELE!!

Binti mmoja alikuwa akiendesha gari akiwa na baba yake. Wakiwa njiani ghafla mvua kubwa ikaanza kunyesha na kuleta tufani, yule binti akamuuliza baba yake, "Nifanyeje?" Baba yake akamwambia "endelea kuendesha".. Magari yakaanza kusimama na kuegesha pembeni kwa kuhofia tufani ambayo ilikuwa kubwa mno. "Nifanyeje?." Binti akamuuliza baba yake?
"Endelea kuendesha," baba yake akajibu.
Mbele yake tena akaona malori makubwa kabisa yakiegesha pembeni.
Akamwambia baba yake, "Inabidi nisimame, angalia hata magari makubwa yanaegesha pembeni na sioni vizuri mbele. Hali ni mbaya sana!" Baba yake akamwambia, "Usikate tamaa, wewe endelea kuendesha!" Tufani sasa ilizidi, lakini yule binti hakusimama na mara akaanza kuona japo kwa shida kidogo mbele yake. Baada ya maili kadhaa akajikuta yuko kwenye ardhi kavu ambako hakukuwa na mvua, na jua lilikuwa linaangaza.

Baba yake akamwambia, "Sasa unaweza kusimama na toka nje." Binti akauliza "Kwanini sasa?" Baba yake akamwambia "Ukitoka nje, tazama nyuma ili kuangalia watu waliokata tamaa na bado wako katikati ya tufani, kwa sababu hukukata tamaa tufani yako imekwisha sasa."
Huu ni ushuhuda wa kila mmoja wetu ambaye anapitia kwenye

Siyo kwa sababu kila mmoja, pamoja na wenye nguvu, wanakata tamaa haimaanishi hata wewe pia ukate tamaa. Kama utaendelea kupambana na kusonga mbele dhoruba yako itakwisha na jua litakuangazia nuru yake usoni kwako tena.
Kuna wengi wamekata tamaa na maisha na kujiona hawawezi tena kutoka, nikuhakikishie kuwa inawezekana kutoka hapo ulipo, unachotakiwa kufanya ni kimoja tu, simama tena na endelea mbele zaidi. Tuisikilize Sauti ya Mungu nasi tutayavuka majaribu japo yawe magumu kiasi gani.

Hadithi hii imenigusa na niaamini hata wewe imekugusa! Tafadhali nicheck kwenye 0785076937 au 0652211067 nikusaidie kupata kile kitu ambacho kimewasaidia wengi katika maisha na wengine hawakuwa na kitu kabisa na walikuwa wamekata tamaa kabisa ya maisha.

2017Shining_Year
Look_Great_and_Feel_Great
Its_Time_To_Shine_With_Oriflame
Make_Money
Have_Fun
Make_your_dream_reality
Be_Unstoppable

Safari Za Bure/Kufurahia Maisha

Ilikuwa siku ya Jumamosi ambapo ratiba zingine za siku zilisimama na baada ya hapo tulikutana katika ukumbi wa SAUT - {St. Augustine University of Tanzania} kampasi ya Mbeya na tukawa na wakati huu mzuri wa kuweza kushirikishana yale mazuri yote ambayo "Members" wakongwe (viongozi) wamefanikiwa kupata na sasa wanaishi maisha ya ndoto zao. Kama Director Friedah ambaye yeye kasafiri nchi sita (6) bure na Oriflame na Jessica yeye kasafiri na Oriflame nchi Kumi na mbili (12) bure.
Hii ni fursa ambayo wewe hutakiwi kuikosa kabisa kwani waweza fikia hatua ukazichoka safari kwa uwingi, labda ukazifurahia kwa kuwa utakuwa unakutana na marafiki wengi wapya katika sehemu nzuri na zenye kupendeza bure kabisa.
Hebu angalia kwa umakini na sikiliza video hiyo na share na wengine. Tafadhali usisahau kusubscribe channel hii.

Friday, March 3, 2017

With Us Its All About You

With Us, It's All About You!

Oriflame exists for people just like you. The products we make and the dynamic earning opportunity we offer are all created with you in mind.

With Oriflame´s unique earning opportunity you join with a very low fee and can start making money the same day. The many well presented products and attractive offers make the selling as easy as simply showing the catalogue or a weblink and asking for an order.

You don’t need any previous experience - we are there to help you along the way and most of the training and support is completely free. You invest your time and the opportunities to grow are unlimited.

You have complete control and freedom over the hours you work and the rewards you receive. You decide whether to do this as a hobby, part time or full time job. In short – you are the boss!

We therefore are proud to offer an opportunity where you from the beginning earn money while you build your business and reach for your dreams, we say - Make Money Today And Fulfil Your Dreams tomorrow.

The Oriflame opportunity puts your dreams within your reach—with minimal investment, no risk and exceptional rewards.

Please JOIN ME NOW and at Sponsor Number use 62534, for any Enquiry, please Dial/SMS/WhatsApp 0785076937 or 0652211067 now.

Saturday, February 18, 2017

Unaweza Hakika

UNAWEZA"..

Siku chache zilizopita nikiwa napitia maandiko kadhaa katika mitandao ya kijamii nilikutana na andiko moja ambalo lilinitia moyo sana na hili ndilo nitakushirikisha..

Mwandishi wa lile andiko alikuwa akitoa salaam zake kwa msiba wa aliyekuwa mchezaji wa Yanga na Taifa stars. Mwandishi yule bila shaka alikuwa anamfahamu yule mchezaji tangu akiwa bado hajacheza ligi ngazi kuu ya taifa na timu ya taifa " taifa stars".

Mchezaji yule bila shaka alisoma shule mojawapo mkoani mbeya Tukuyu Secondary.

Kisa chake anakieleza kama ifuatavyo, "sitasahau siku ile tulipokuwa tumefungwa magoli sita kwa sifuri na wapinzani wetu, wewe ulipoingia ulisawazisha magoli yote na ukaongeza magoli mengine mawili tukatoka na Ushindi wa magoli nane kwa sita. Siku hii si tu alibadirisha matokeo ya mchezo ila alibadirisha hali ya wachezaji wenzake na washabiki. Na anasisitiza Yale magoli yote yalifungwa na wewe.

Inanifanya nikumbuke kile kisa cha mmiliki wa KFC ambaye alistaafu akiwa hajui nini atafanya lakini akiwa na hakika ya umaskini uliokuwa ukimsubiri. Lakini badaye alifanya self analysis " uchambuzi wa uwezo wake" na aligundua jambo moja alilokuwa anaweza kulifanya vizuri zaidi ambalo lilikuwa ni kutengeneza chicken (kuku)aliyeandaliwa kwa ajili ya kuliwa na yeye aliamua kutia bidii hivi Leo tunapozungumzia KFC ni biashara ya kimataifa na alikufa akiwa bilionea... Huyu alibadirisha matokeo....

Yule mwingine anaitwa Od Mandino msemaji na mwandishi mashuhuri wa kimarekani. Baada ya kutoka kupigana vita ya kwanza ya dunia alirudi nyumbani na aliamua kufanya kazi ya kuuza Bima lakini maisha yalikuwa magumu na akiwa amefilisika hakujuwa afanye nini badala yake akawa mlezi wa kupindukia. Siku moja akiwa njiani kurudi nyumbani aliona tangazo la bunduki iliyokuwa inauzwa kwa dola 29 na yeye mfukoni alikuwa na dola 30 tu "alifikiri kama nikinunua bunduki nitabakiwa na dola 1 inayotosha kununua risasi na nitaweza kujiua ili niepuke fadhaa hii....lakini haikutokea kabla ya kuamua aliona mbele kulikuwa na maktaba na alivutiwa kuingia na kusoma,badaye aliazimia kuwa na ratiba za Mara kwa Mara kwenda hapo na kusoma. Siku moja alikutana na kitabu kilichokuwa kimeandikwa na Napoleon na  Clement, kilichokuwa kinazungumzia namna jinsi unaweza kufanikiwa....

Baada ya kusoma kile kitabu alidhamiria kwenda kufanya kazi ya kuuza Bima chini ya MTU mwingine na Mara alianza kuuza kwa mafanikio na baada ya muda aliandika kitabu cha kwanza ambacho kiliuza zaidi ya nakala 10,000,000 kilikuwa kimetafsiriwa zaidi ya lugha 5 duniani kwote.

Huyu pia aliweza kubadilisha matokeo....

Wewe pia unaweza!! Ukidhamiria kwa udhati na ukania kuthubutu na ukathubutu unaweza!!

Unaweza kubadilisha matokeo kuanzia Leo kama utakuwa unajua safari yako utokako, unakoenda na mbinu muhimu za kutanua, kuwa mwanafunzi wa wewe mwenyewe utapata kuwa mwalimu wa matokeo mazuri, daima usisumbue na historia yako ya utokako, bali anza kutafuta mabadiliko ya maisha yako leo.

Kuwa na Jumapili yenye mawazo chanya, yatakayo badilisa fikra zako milele.
Hakika unaweza na utafanikiwa zaidi ya vile ufikirivyo.

Karibu jiunge nami kubadilisha maisha yako leo kupitia Oriflame, Piga/SMS/WhatsApp 0785076937 au 0652211067 sasa.